matukio Mwili wa kichanga waokotwa 19:45 Paparazi Mwili wa kichanga cha jinsia ya kike ulioanza kuaribika umeokotwa leo majira ya saa nane mchana katika eneo la Ukonga Sabasaba Kwa Diofu, kwenye shamba la mzee Msindo. Bofya hapa kuungana nasi facebook ili kujiunga nasi facebook
0 comments:
Chapisha Maoni