Gari aina ya Toyota VX likiwaka moto baada ya kuchomwa na wananchi mchana leo Bunju B jijini Dar kwa kusababisha ajali na kuuwa madereva watatu wa bodaboda.
Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya gari aina ya Toyota VX imeua madereva watatu wa bodaboda mchana leo.
GARI aina ya Toyota VX imeua madereva watatu wa bodaboda mchana leo Bunju B, Dar na gari hiyo kuchomwa moto na wananchi.
Bofya hapa kuijunga nasi facebook ili upate taarifa mpya kila zinapotufikia
0 comments:
Chapisha Maoni