Jumatano, Desemba 03, 2014

Waswahili walisema ajali haina kinga ila hii tunaweza kusema imesababishwa na uzembeee... ni pale dereva wa gari hili alipokuwa mwendo wa kasi huku akijaribu kumkwepa dereva wa bodaboda na kujikupa amevamia uzio wa ofisi za SUMATRA zilizoko barabara ya Ali Hassan Mwinyi na kujikuta amepenya ndani kupitia uzio.

Vijana wakijaribu kumkwamua aweze kutoka.


0 comments:

Chapisha Maoni