Ngoma mpya kutoka kwa mkali Juma Nature akimshirikisha mwanadada machachari katika muziki wa kizazi kipya Judith Wambura a.k.a Lady Jaydee inayokwenda kwa jina la kama jana imezua kizaazaa baada ya mashabiki kuja juu na kumlaumu mkali huyo (Juma Nature) kutoka na kumponda mkali Diamond Platinumz.
Kupitia mtandao wa kijamii wa facebook mashabiki hao walitoa yao ya moyoni kama yanavyoonekana hapa chini....
Add caption |
0 comments:
Chapisha Maoni