Hii ilisababisha uvumi kwamba wawili hao walikuwa wana date sasa hivi.
Mustafa aliandika maneno haya Instagram alipoingiza picha hii "Colonelmustafa Pamoja na bosi wanguLADY @ huddahrepublic I got hottest kifaranga katika mchezo "
lakini chanzo chetu kimemtafuta jamaa na kumhoji lakin mustapha alidai yeye na huddah ni marafiki na hana lengo kumuumiza king mswati prezzo.
0 comments:
Chapisha Maoni