Mwimbaji wa Naija Davido ameionesha kwenye Instagram simu
aina ya iPhone Carat yenye rangi za dhahamu na imeandikwa jina lake na
label yake ya ‘HKN’.
iPhone hiyo imeandikwa kabisa kuwa imetengenezwa maalum kwa ajili
yake (Exclusively made for HKN Rich Gang). Hili inaweza kuitwa toleo la
Davido, kama ilivyoandikwa ‘Davido iPhone Limited Edition.
0 comments:
Chapisha Maoni