matukio Ajali mbaya ya magari yatokea eneo la nanenane darajani,Uyole Mbeya 21:35 Paparazi Gari la abiria aina ya hiace likiwa limegongana uso kwa uso na gari aina ya Land Cruiser. Hizi ni baadhi ya maiti zilizopatikana baada ya ajali kutokea. Hivi ndivyo daladala hii ilivyoharibika baada ya ajali hiyo. Bofya hapa kuungana nasi facebook ili kupata taarifa mpya kila zinapotufikia
0 comments:
Chapisha Maoni