Jumatatu, Aprili 28, 2014


Wananchi wakioka kwenye gari kupitia madirishani.

 Aha! kila mmoja akichomoka kujiokoa.

  
Basi la RATCO linalofanya safari zake Dar es Salaam kwenda Tanga limepata ajali eneo la Kibaha, Pwani jana jioni Aprili 27, 2014.

Kwa mujibu wa shuhuda aliyefika eneo la tukio alisema gari hilo lilipinduka upavu baada ya kuacha njia.


0 comments:

Chapisha Maoni