Jumamosi, Machi 29, 2014

Msichana mmoja kutoka kaunti ya bungoma sasa anataka hatua zichukuliwe dhidi ya daktari mmoja kwa kuhatarisha maisha yake.
Maureen Khaemba alifika hospitali kuu ya bungoma kujifungua, lakini baada ya upasuaji, daktari alisahau pamba tumboni mwake hali ambayo imemsababishia maumivu chungu mzima. 

Bofya play kutazama video hiyo hapa chini...

Usisahau kuacha maoni yako kwenye kisanduku cha maoni hapo chini...

0 comments:

Chapisha Maoni