Jumapili, Februari 16, 2014

Katika kujaribu kupunguza msongamano wa magari mjini Dubai, watu wenye kipato cha chini na maskini hawataruhisiwa kumiliki magari.
Wazo hilo la ubaguzi limebuniwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Dubai, Hussain Lootah. Lootah amesema uamuzi huo utawaruhusu watu muhimu na wenye kipato cha juu kutumia barabara za mjini.

0 comments:

Chapisha Maoni