MWANAMKE raia wa United States - alalama kitendo cha mume wake
kukataa kufanya tendo la ndoa pale akiwa na uhitaji wa kitu hicho
adimu, mwanamke huyo alimtolea uvivu mumewe huyo ambaye yasemekana
anatabia ya ulevi kwa kutembea uchi wa mnyama mpaka pale anapo ishi mume
wake huyo na kufanya uharibifu mkubwa katika nyumba ya mume wake huyo
kwa kuchoma moto baadhi ya vitu na kuvunja vunja furniture kibao
zilizopo ndani, bila hata haya ya watu walokuwa waimtazama aliendeleza
uharibifu wake huku akiwa mtupu mpaka pale polisi walipofika
na kumtuliza...
chanzo chetu kinaeleza kuwa ujio wa polisi
ulisaidia kumtuliza bibiye huyo....report kamili inadai sasa mumwewe
huyo alipigiwa simu ili aende polisi Los angels kujibu mashtaka hayo
...bwana huyo aliye fahamika kwa jina la
mlevi Ashely Marie Prenvost akarudi Glendale , Arizona nyumbani na
kukuta uharibifu mkubwa sana lakini hakua na jinsi ikambid aende
kituoni....
0 comments:
Chapisha Maoni