Video ya wimbo wa KATY PERRY‘DARK HORSE’akiwa amemshirikisha JUICY J, imekumbwa na msala baada ya taasisi ya dini ya kiislam ya uibgereza inayojulikana kama SHAZAD IQBAL kutaka video hiyo iondolewe YOUTUBE kwa madai ya kumkashifu Mwenyezi Mungu.
Taasisi
hiyo imedai kuwa kipande cha video hiyo kinachomuonesha mtu akiwa
amevaa cheni iliyoandikwa ‘Allah’ yaani Mungu, akishindwa na nguvu za
giza (Magic Power) za Katy Perryaliyetamba kuzitumia kwenye wimbo wake.
Lakini kibaya zaidi katika dakika ya kwanza na sekunde kumi na tano ya
video hiyo, mtu huyo anaonekana akichomwa moto na kuuawa.
Taasisi hiyo imeiandikia ‘petition’ YouTube na tayari maombi hayo yameshakusanya sahihi zaidi ya 40,000 kwenye mtandao.
Taasisi hiyo imeiandikia ‘petition’ YouTube na tayari maombi hayo yameshakusanya sahihi zaidi ya 40,000 kwenye mtandao.
0 comments:
Chapisha Maoni