Ijumaa, Januari 31, 2014

KENNY KIDAGO ENZI ZA UHAI WAKE
Professor Jay !Nimepokea kwa mshtuko na masikitiko sana hizi taarifa za kifo cha rafiki yangu KENNY KIDAGO. ..Ambaye nilifahamiana naye tangu akiwa mtangazaji Radio UKWELI (Moro), Tripple A fm, na baadae East Africa Radio upande wa production mpaka mauti yalipomkuta...BROTHER K Tulikupenda ila Mwenyezi Mungu amekupenda zaidi, jina lake lihimidiwe. ..Pumzika kwa Amani Bro, AMEN!!

0 comments:

Chapisha Maoni