Jumapili, Oktoba 26, 2014

Aliyekuwa Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zubeir Mtemvu. 

Baada ya watu kuja na Ushahidi mbalimbali juu ya umri wake Sitti Mtemvu kupitia page yake ya facebook ameandika.
 

 My take: Tumeshuhudia watu mbalimbali wakiathirika kisaikolojia kwa manyanyaso mitandaoni,ni vizuri hekima ikatumika kwa kufuata hatua (procedures) za kuhoji taji hilo kuliko kumnyanyasa mitandaoni.

0 comments:

Chapisha Maoni