Kikosi cha zima moto kikifanya juhudi za kuzima moto huo.
MSIKITI wa madhehebu ya Wahindu uliopo maeneo ya Mtaa wa Kibasila karibu
na shule ya Olimpia jijini Dar es Salaam, umeteketea kwa moto leo
asubuhi ambapo baadhi ya mali zimeungua na mtu mmoja kukimbizwa
hospitali kutokana na mshituko.
Sehemu ya chumba cha msikiti kilichoungua.
Akizungumza na mtandao huu, shuhuda mmoja alisema moto huo umesababishwa na hitilafu ya umeme iliyoanzia kwenye mashine ya luku ambapo baadhi ya waumini walikuwa wakijiandaa kuupamba msikiti huo.
Akizungumza na mtandao huu, shuhuda mmoja alisema moto huo umesababishwa na hitilafu ya umeme iliyoanzia kwenye mashine ya luku ambapo baadhi ya waumini walikuwa wakijiandaa kuupamba msikiti huo.
Wananchi wakiwa katika eneo la tukio wakisaidia kuokoa baadhi ya mali zilizopo ndani ya msikiti.
Gari la kikosi cha zima moto likiwa eneo la tukio kuuzima moto.
Baadhi ya waumini wakiwa eneo la tukio.
Baadhi ya mali zilizookolewa.
0 comments:
Chapisha Maoni