Gari limegonga mlango wa kioo wa Benki ya CRDB, mkoani Morogoro. Taarifa zinasema kuwa dereva huyo alikuwa anataka kurudi nyuma kumbe alibonyeza sehemu ya kuendeshea ndo akaishia kuingia CRBD .
Jumatano, Juni 04, 2014
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

0 comments:
Chapisha Maoni