Jumapili, Mei 25, 2014

Nyota wa mchezo: Sir Alex Ferguson akimpatia zawadi Angel Di Maria kama mchezaji bora wa mechi.

 Sir Alex Ferguson alishindwa kuvumulia katika mchezo wa jana baada ya winga wa Real Madrid, Angel di Maria kuonesha kiwango cha juu  na kuamua kumpa zawadi ya mchezaji bora wa mechi ya fainali ya UEFA mwaka huu.

Gwiji huyo wa Manchester United  alivutiwa sana na kiwango cha Di Maria katika mchezo wa jana na kuisaidia Real Madrid kushinda mabao 4-1 dhidi ya majirani zao, Atletico Madrid, mjini Lisbon.

 Akikimbiza: Di Maria alikuwa nguzo ya  Real Madrid usiku wa jana mjini Lisbon

 Muda wa sherehe:  Muargentina huyo alifanya kazi kubwa kuwasaidia Real Madrid kutwaa ndoo yao ya 10 ya Ulaya.

0 comments:

Chapisha Maoni