Jumapili, Mei 18, 2014

Mwili wa Marehemu Adam Kuambiana ukiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuhifadhiwa leo mchana .

 Rais wa Bongo Movies, Steve Nyerere akiwa katika sura ya mshangao.

 Wasanii wakilia kwa uchungu nje ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili mchana wa leo.

0 comments:

Chapisha Maoni